TANGAZO

ILI KUPATA TAARIFA ZA UHAKIKA KUHUSU MATANGAZO YA KAZI ZA MAENDELEO YA JAMII TEMBELEA BLOG HII KILA MARA Propellerads

Friday 22 May 2015

NAFASI ZA KAZI AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA II NA III









MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI ANAWATANGAZIA WANANCHI NAFASI ZA KAZI MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO

1. (A) AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA II (V.E.O II) – TGS C- NAFASI 48

SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa kwa waliohitumu kidato cha IV au VI na waliohitimu stashahada au shahada ya juu, Uongozi, Maendeleo ya jamii, kilimo, sheria kutoka vyuo vinavyotambulika na serikali.

JINSI YA KUTUMA MAOMBI

Maombi yote yatumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa anuani ifuatayo

MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 20
MISUNGWI.

MASHARTI YA JUMLA.

i. Awe raia wa Tanzania
ii. Awe mwenye maadili mazuri
• Hajafukuzwa kazi
• Hajapunguzwa kazi
• Hajafungwa na kupatikana na kosa la jinai
• Awe tayari kufanya kazi eneo lolote Misungwi bila kuhama kwa kipindi cha miaka 5
• Barua ya maombi iambatanishwe na picha (2) za sasa passport size na vivuli (photocopy) vya vyeti vya elimu na Taaluma
• Andika namba ya simu ya mkononi katika barua ya maombi ili kurahisisha mawasiliano
Mwisho wa kupokea maombi ni 30/05/2015 saa 9:00 alasiri

SOURCE; MAJIRA 12TH MAY 2015
______________________________________________________________________

TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI
HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI
MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MISUNGWI ANAWATANGAZIA WANANCHI NAFASI ZA KAZI MBALIMBALI KAMA IFUATAVYO

(B) AFISA MTENDAJI WA KIJIJI DARAJA LA III TGS A/B- NAFASI 1

SIFA ZA MWOMBAJI

Kuajiriwa kwa waliohitumu kidato cha IV au VI na waliohitimu Astashahada ya maendeleo ya Jamii, sheria, Mipango ya Maendeleo vijijini kutoka vyuo vinavyotambulika na serikali

JINSI YA KUTUMA MAOMBI

Maombi yote yatumwe kwa Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi kwa anuani ifuatayo

MKURUGENZI MTENDAJI (W)
S.L.P 20
MISUNGWI

MASHARTI YA JUMLA

(C) Awe raia wa Tanzania
(D) Awe mwenye maadili mazuri
• Hajafukuzwa kazi
• Hajapunguzwa kazi
• Hajafungwa na kupatikana na kosa la jinai
• Awe tayari kufanya kazi eneo lolote Misungwi bila kuhama kwa kipindi cha miaka 5
• Barua ya maombi iambatanishwe na picha (2) za sasa passport size na vivuli (photocopy) vya vyeti vya elimu na Taaluma
• Andika namba ya simu ya mkononi katika barua ya maombi ili kurahisisha mawasiliano
Mwisho wa kupokea maombi ni 30/05/2015 saa 9:00 alasiri

SOURCE; MAJIRA 12TH MAY 2015

No comments:

Post a Comment